2 Samuel 7:18

Maombi Ya Daudi

(1 Nyakati 17:16-27)

18 aNdipo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za Bwana, akasema:

“Ee Bwana Mwenyezi, mimi ni nani, na jamaa yangu ni nini, hata umenileta mpaka hapa nilipo?
Copyright information for SwhNEN